Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, 21 September 2016

WIKI YA NENDA KWA USALAMA 2016 : HATUTAKI KUFA TUNATAKA KUISHI SALAMA

 Baadhi ya Walimu kutoka KIKOSI cha Usalama Barabarani wakati wa Wiki ya Nenda kwa Usalama iliyofanyika Tanga mwaka jana.
 Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP-Mohammed Mpinga(kulia) akisikiliza maelekezo kutoka kwa wanafunzi waliokuwa wakielimisha  kupitia michoro ya barabara katika Taaluma ya Masuala ya Barabarani iliyofanyika TANGA. 
Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wakiwa kwenye wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani MKOANI TANGA.

No comments:

Post a Comment